Showing posts with label HEALTH(AFYA). Show all posts
Showing posts with label HEALTH(AFYA). Show all posts

AFYA | ZIJUE SABABU KWA NINI UTUMIE MAFUTA YA SAMAKI...

  ZIJUE SABABU 4 ZA KWA NINI UTUMIE MAFUTA YA SAMAKI.

Utafiti ulifanywa kwa nini wajapani hawaugui magonjwa ya kansa,kisukari na magonjwa ya moyo, ikaonekana kwamba wajapani wanatumia sana vyakula vya baharini ukilinganisha na watu wa magharibi wanaotumia mafuta na nyama.
Ukweli ni kwamba mafuta ya samaki yana omega 3 ambayo ni muhimu sana katika mwili wa mwanadamu.

AFYA | FAHAMU UKWELI KUHUSU ALOEVERA...

 FAHAMU UKWELI KUHUSU ALOVERA.

UTANGULIZI:
Matumizi ya mimea ya asili yamekuwa yakitumika miaka zaidi ya elfu tatu kabla Kristo(3000BC) , Kila kabila na taifa limekuwa likitumia mimea mbalimbali kwa ajili ya kujitibu na kuboresha afya. Inakadiriwa takribani 75% ya watu duniani wanatumia mitishamba kwa ajili ya kujitibu.
Utafiti wa hivi karibuni umeonesha kuwa ili kuzuia maradhi unapaswa;

FAIDA ZA KULA NYANYA

.

Nyanya huwa tunazichukuliwa kama mboga za majani, ingawa ni kiuhalisia ni tunda.
Nyanya ni chakula kizuri sana. Ni tamu ukila mbichi katika kachumbari au katika sandwiches, na zinakuwa na utamu wa aina yake zikiwa zimepikwa.

Nyanya chakula muhimu sana katika mlo wa watu wa Africa hususan hapa kwetu Tanzania Nyanya moja inakuwa na calorie 22, gramu 0 za mafuta, gramu 5 za wanga, gramu 1 za fiber, gramu 1 ya protini na miligramu 6 za sodium. Pia inatoa asilimia 40 ya vitamin C inayoshauriwa kula kwa siku, asilimia 20ya vitamin A, asilimia 2 ya chumba,  na asilimia moja ya calcium.

Zifuatazo ni faida za nyanya:
1.Kinga dhidi ya Saratani.
Tafiti mbalimbali zithibitisha kadiri watu wanavyokula nyanya nyingi ndivyo inasaidia kupunguza uwezekano wakupata saratani za mapafu, tumbo na kizazi. Kitu kinaitwa lycopene kinachofanya nyanya ionekane nyekundu kwa rangi inadhaniwa kuwa ndio sababu inanyoifanyanyanya iwe na uwezo huowa kinga.

Nyanya zilizopikwa ndio zina lycopene nyingi kuliko nyanya mbichi.
Mchakato wa kuzipika nyanya zinavunja vunja kuta za chembechembe hai ambako kunasaidia kutoka kwa lycopene. Ukila nyanya kwa vitu vyenye mafuta kama mafuta ya olive inasaidia lycopene kuingia vizuri mwilini.

2. Zinalinda Dhidi ya uharibifu wa DNA.
Nyanya uwingi wa antioxidants kama Vitamini C na Vitamin A. Vitamini hizi zinafanya kazi ya kulinda DNA dhidi ya kuharibiwa. Pia nyanya zinaweza kukusaidia kukukinga dhidi ya magonjwa yanakupata uzeeni kama kisukari.

3. Inapunguza Hatari Ya Ugonjwa Wa Moyo.
Nyanya zina virutubisho muhimu kama niacin, folate na vitamin B6 ambazo zinahusika na kupunguza uwezekano wakupata ugonjwa wa moyo.
Utafiti mmoja uligundua kuwa wanawake waliokula nyanya saba mpaka kwa wiki walikuwa na asilimia 29 pungufu za kupata ugonjwa wa moyo  ukilinganisha na wanawake waliokula pungufu.
Matokeo ya utafiti huu yalikuwa mazuri zaidi kwa wale wanawake waliokula nyanya na vyakula vyenye mafuta.

4. Zinakulinda dhidi ya thrombosis.
Thrombosis ni kuganda kwa damu katika mishipa (blood clots in the blood vessel). Utafiti unaonyesha kuwa ni muhimu kula nyanya zenye sodium kidogo kama unataka kujikinga dhidi ya thrombosis.

5. Kuzuia Kuvimba.
Utafiti unaonyesha kuwa kunywa glasi moja ya nyanya kwa siku kunasaidia kupunguza TNF-alpha kwa asilimia 34 katika damu. TNF-alpha inasababisha kuvimba mwili.
TNF-alpha nyingi hupatikana kwa watu wenye magonjwa sugu kama ugonjwa wa moyo, saratani, osteoporosis na Alzheimer’s.
Kula nyanya nyingi iwezekanavyo ilikupata afya njema.

Kwan nchi yetu ya Tanzania upatikanaji wa nyanya ni rahisi sana tena itakuwa vizuri kama katika kila mlo wako wa siku utakuwa unatengeneza kachumbari yenye mchanganyiko wenye nyanya nyingi.

Endelea kuwa na Afya Njema.

IJUE THAMANI YA ASALI, NI CHAKULA,UREMBO NA NI DAWA

Asali imekua sehem kubwa ya maisha yangu tangu nikiwa mtoto wa miaka kumi,baada ya mama yangu kuhamishia nguvu yake ya ujasiriamali kwenye ufungaji na uuzaji wa asali.Mama alitumia asali kufanya mambo mengi sana,na kama watoto tuliamini asali ni dawaya kila kitu.

Kama watoto tulikua sehem ya kazi ya mama,hivyo tulimsaidia pale alipotuitaji.Kwa  zaidi ya miaka 20 nimefanya kazi ya asali na mama yangu na nimejifunza mengi sana juu ya asali kutoka kwake.Asali ni chakula ambacho kimekuwepo kwa miaka mingi sana,Tangu enzi za mababu zetu ,na hata kabla ya kuja kwa YESU KRISTO.

Bibilia inathibitisha uwepo wa asali kabla ya kuja kwa YESU pale MUNGU alipowaaidi wana wa izraelinchi yenye maziwa na Asali.

Michoro iliyopatikana kwenye mapango ya watu wa kale.Uthibitisho kwamba walirina asali.

Nachagua kuamini kwamba Unaifaham asali.Asali ni chakula kitamu.kinachotengenezwa na nyukikwa kukusanya  nectar kutoka kwenye mauwa.Asali inaweza kaa miaka mingi sana bila kuharibika,asilimi kubwa ya wadudu waaribifu hawawezi kukua ndani ya asali kwani inakiasi kidogo sana cha maji  yaani 0.6(WATER ACTIVITY).Tone lolote la maji au mate linapoingia kwenye asali huongeza uwezakano wa kuaribika kwa asali hiyo na kufupisha maisha ya asali.

Kwa ufupi naweza sema maji ni adui mkubwa wa asali.Aina na ubora wa asali hutofautiana kutokana na aina ya nyuki walioitengeneza asali hiyo pomoja na aina ya maua ambayo nyuki wamenyonya nectar yake,rangi za asali pia hutofautiana kwa misingi hiyo hiyo.

Aina mbalimbali za asali.

Apa nchini Tanzania kuna aina kuu mbili za asali,asali ya nyuki wakubwa na asali ya nyuki wadogo.Asali ya nyuki wakubwa hupatikana kwa wingi zaidi kuliko yanyuko wadogo,Lakini asali ya nyuki wadogo huuzwa bei ghali zaidi ya asali ya nyuki wakubwa kwani ilithibitika kwamba asali ya nyuki wadogo inatengenezwa kutoka kwenye nectar ya mauwa ambayo miti yake inausali wa dawa.Miti hiyoni kama Mlonge,mwarubaini,rosellana mingine mingi.

Asali ni chakula kinacho tumika kwa mambo mengi sana,unaweza itumia badala ya sukari kwenye vinywaji,kuipakaa kwenye mkate,na kuitumia kama kionjo kwenye vyakula mapishi mbali mbali,pia hutumika kutengeneza urembo wa aina mbalimbali kama mafuta na sabuni na vingine vingi,liakini zaidi ya yote asali hutumika kama dawa.

Ni vyema kujua kwamba asali mbichi(ambayo haijapitishwa kwenye moto)ni nzuri kuliko ile iliyopitishwa kwenye moto,Kwani pale asali inapopitishwa kwenye moto baadhi ya enzymes hufa na virutubisho vingine hupotea.Mara nyingi asali hupitishwa kwenye moto ili kuiyeyusha hasa pale inapotakiwa kuchujwa.

ASALI KAMA DAWA.
Asali kama dawa inaweza kutibu matatizo mbalimbali,kumbuka tu tunaongelea asali ambayo haijachanganywa na kitu chochote.

For skin rashes, burns and abrasions.
Apply a small amount of raw honey lightly over the affected area; may cover with a dressing or a dusting of cornstarch to reduce any stickiness.The ultimate moisturizer.Smooth a small amount of raw honey lightly over the skin; easily remove later with splashes of cold water or comfortable warm water. Leaves skin baby soft.

As a bath and antibacterial soap.
Wash with raw honey straight from the jar and enjoy sparkling clean skin. Facial blemishes and acne caused by cosmetics or allergies will clear up quickly using a nightly treatment of RRH. A small amount needed.

For hair and scalp treatment.

Apply Really Raw Honey (with or without olive oil) to dry or damp hair about one half hour before washing–you’ll be amazed at your “crowning glory”.

For dental care and mouth sores.

Cleans teeth, mouth and dentures and stops bleeding gums. Canker sores, blisters and mouth ulcers respond to application of raw honey.

An astounding natural preservative.

Unprocessed honey found in ancient tombs was determined to be edible and was even used to preserve bodies.
Keeps foods fresh and moist longer and retards spoilage.

For healing ulcers and burns.

Also many years ago, a study by Robert Bloomfield,published in the Journal of the American Medical Association, reports “Applied every2 to 3 days under a dry dressing, honey promotes healing of ulcers and burns better than any other local application.

It can also be applied to other surface wounds, including cuts and abrasions…”

Honey has anti-cancer properties.

Recent studies by Gribel and Pashinskii indicated that honey possessed moderate antitumor and pronounced anti-metastatic effects in five different strains of rat and mouse tumors.

Further more, honey potentiated the antitumor activity of chemotherapeutic drugs such as 5-fluorouracil and cyclophosphamide. — Gribel, N.V., and Pashinskii, V.G.Antitumor properties of honey. Vopr. Onkol., 36:704-709, 1990.C.V. Rao at the American Health Foundation in Valhalla, New York found caffeic acids in propolis are inhibitors of colon cancers in animals.

Other research shows hive products have the ability to preventand halt the spread of malignant diseases. Earlier research by M.T. Huang also published in Cancer Research found caffeic acids effective in inhibiting skin cancer tumors in mice.

Ushauri;
Ni vyema ukawa na asali nyumbani kwa ajili ya matumizi mbalimbali.Kwa matumizi ya asali kama dawa,nashauri asali mbichi ya nyuki wadogo.Najua ni ngumu kujuakama asali mbichi au imepitishwa kwenye moto,Hivyo nashauri utumie asali ya FANO 2010.

Asali za Fano 2010(Golden Lulu) Asali za FANO 2010 zinapatika Thanks God supermarket,eneo la sinza madukani.nashauri asali hii kwani ndio asali ninayotumia na ninakuhakikishia kuwa ni asali mbichi,na zaidi ya yote niliwai tembelea workshop ya FANO 2010 na kuona jinsi wanavyochuja asali,Ndio maana ninanguvu ya kushauri utumie asali hio.

ONYO.
Asali si nzuri kwa watoto wadogo wenye umri wa kati ya siku moja hadi miaka miwili,kwani wakati mwingine asali huwa na endosporeswa bacterium  clostridium botulinum.Endospores hizo  zinaweza kubadilika kua aina ya bacteria wanatoa sumu. Bacteria hawa hushambulia utumbo mwembamba wa mtoto ambao haujakomaa  na hivyo  huweza msababishia mtoto kuumwa na  hata kifo.Akina mama msikose chupa ya asalijikoni,kwani ajali za kuungua ni kawaida jikoni na asali ni dawa nzurisana,Ukiungua kitu cha kwanza kabisa pakaa asali nyingi kwenye eneo uliloungua.. Nimalizie kwa kusema.Asali ikichanganywa na dawa zingine za asili au viungo fulani pia huwa dawaya magojwa mengi zaidi.Naamini makala hii imekufumbua macho na kukufanya uithamini asali.

IJUE THAMANI YA KICHWA CHA SAMAKI-unaweza kipika hivi….

Supu/mchuzi wa Kichwa cha Sangara.

Moja kati ya mambo ninayoyapenda sana kuhusu my home town MWANZA  A.K.A. THE ROCK CITY ni Samaki.Samaki wanaopatikana ziwa Victoria wana sifa kubwa  sana kitaifa na kimataifa.

Ukiishi mikoa yakanda ya ziwa huwezi jua thamani ya samaki hao adi utoke nje ya mkoa uwakose kwa muda.Samaki wa maji baridi si kama wa maji chumvi,wanatofautiana ladha na zaidi ya yote wanatofautiana ainana wingi wa virutubisho.

Samaki  kwa ujumla ni chanzo kikubwa cha protini na madini mwili,samaki wa maji baridi wana Omega -3 na fatty acids kidogo ukilinganisha na samaki wa maji chumvi,ata ivyo samaki wa maji baridi ana protini nyingi na mafuta kidogo,pia anamadini mwili kama  calcium,madini chuma pamoja na manganese.

Samaki hutumika kama kitoweo kwachakula cha mchana na jioni kwa familia nyingi.Kwa wakazi wa maeneo ya ziwani samaki huliwa ataasubuhi kama kifungua kinywa kwani hupatikana kwa wingi katika maeneo hayo.Kichwa cha sangara kina sifa ya kutoa supu au mchuzi mzito,kina mafuta na kwa ujumla ni kitamu.

Kwa miaka mingi kumekua na imani iliyojengeka kwenye makabila ya kanda ya ziwa kwamba ukila kichwa cha samaki unakua na akili nyingi.Watu wengi sana hawakubaliani na imani hii ata kidogo na mara nyingi nimesikia watu wakiongelea vibaya au kutania juu ya imani hii.

Ukweli ni kwamba,imani yao ni ya kweli na inathibitika kisayansi.kichwa cha samaki hubeba asilimia kubwa ya madini na  mafuta mengi kuliko sehem yoyote ya samaki ,mafuta hayo hubeba  essential Fatty acids(Omega -3 na omega-6) na  madini mwili aina ya calcium,madini chuma,manganese.

Madini haya pamoja na assential fatty acids ni virutubisho muhim sana katika ujenzi na ukuaji kwa ubongo.kila kirutubisho kina  kazi yake maalum.Hivyo kwakua wakazi wa kanda ya ziwa hupata virutubisho hivyo kwa wingi basi ubongo wao hukua vizuri na kuwapa uwezo wa kua na akili zaidi.

Ni vyema kujua kwamba ukuaji wa Ubongo wa mtoto huwa katika kiwango cha juu kabisa ndani ya miaka miwili ya kwanza ya maisha ya mtoto,hata ivyo virutubisho hivi na vingine vingi huendelea kua muhim katika utendaji na ukuaji wakilasiku wa ubongo.

Kwa upande mwingine Akili hukua na kuongezeka sawasawa na akuavyo mtoto.kumbuka tu,endapo ubongo wake ulikua vizuri na unapata virutubisho muhim ili kuuwezesha kufanya kazi vizuri  basi akili yake huwa na uwezo wa kukua na kupanuka kwa haraka zaidi.niishie hapa nisijeingilia fani ya madaktari Nilipokwenda Mwanza kwa ajili ya christmass mwaka jana,sikufanya kosa,nilikula samaki kwa wingi,na nilianda,nikapika  na kula kichwa cha sangara kwa hamu sana.

Kuna namna na njia nyingi za kupika na kuanda kichwa cha samaki,na hii ni namna moja wapo.

Vipande vya sangara tayari kwa kupika.

Mahitaji:
*.Kichwa cha sangara.kipasue vipande
*.Maji
*.Nyanya
*.Kitunguu maji
*.Kitunguu swaumu
*.Limao au ndimu
*.chumvi

Njia.
1.Osha kichwa cha sangara vizuri,zingatia sana mashavu kwani hubeba uchafu mwingi

2.Weka samaki  ndani ya sufuria zito,kisha ongeza maji adi yafunike samaki na kuzidi kidogo.

3.kisha ongeza vitunguu maji,vitunguu swaumu,nyanya na chumvi kisha bandika jikoni vichemke kwa muda mrefu na kwa moto wa wastani.moto ukiwa mkali hutapata mchuzi au supu nzuri na wakati kinatokota kichwa kitameguka meguka.

4.Chemsha adi kiive,kisha ongeza limao kabla tu ya kuepua .kama ni kwa ajili ya mtoto usiongeze limao,ila mpe juice ya chungwa  baada ya kula mlo wenye samaki.Wingi wa supu au mchuzi ni chaguo la mpishi,kama unataka supu/mchuzi mwepesi  basi hakikisha umeweka maji mengi zaidi unapoanza kuchemsha,ni vyema upima maji ya kutosha unapoanza kuchemsha ili uepuke kuongeza maji baada ya kuchemka,maji ya nyongeza siku zote huaribu ladha na ubora wa supu na hata mchuzi.

Mambo ndio kama hivyo,Kichwa chasangara tayari kwa kula,unaweza ukanywa supu yake na kula kichwa bila kusindikiza na chakula kingine,na ukipenda unaweza kutumia kama mboga au kitoweo.

IPE FAMILIA YAKO CHAKULA BORA SI BORA CHAKULA.

IJUE THAMANI YA GILIGILIANI: KIUNGO, DAWA, UREMBO.

Giligiliani (majani)

Giligiliani ni kiungo cha kawaida sana,wengi tunakitumia jikoni kwenye mapishi mbalimbali,Kina harufu nzuri na ladha ya uchachu kwa mbali.

Majani na mbegu za giligiliani vyote hutumika kama viungo jikoni.Giligiliani inawingi wa Vitamini A, B6, C,B12,pia ina wingi wa madini chuma(iron),Calcium na MagnesiumGiligiliani inasifika kwakua dawa na kinga ya magonjwa mengi.

Historia inaonyesha kwamba Kiungo hiki kilitumika kama dawa tangu enzi za kale nchini Egypt.Hata hivyo,tafiti zakisayansi za karne hii ya 21 zinathibitisha taarifa hizi.

Giligiliani (Mbegu)

Ni vyema kujua kwamba tunaposema chakula Fulani ni dawa,basi maana yake ni kwamba chakula hicho kinavirutubisho Fulani ambavyo huweza kukabiliana na ugonjwa Fulani au laa kuupa mwili uwezo wa kukabiliana na kujikinga na ugonjwa Fulani na si vinginevyo.

Hizi ni baadhi ya faida za giligiliani katika afya:
1.Inawezesha usagaji mzuri wa chakula mwilini,hutuliza tumbo na huondoa gesi kwenye  utumbo mwembamba  ambayo mara nyingi husababishwa na vyakula tunavyokula hivyo hupunguza utoaji  gesi chafu (kunyampa) kwa kiasi kikubwa sana

2.Inazuia magojwa ya tumbo yasabaishwayo na bacteria aina ya Salmonella.moja ya magonjwa haya ni kuumwa tumbo na kuhara.

3.Inazuia Ugonjwa wa UTI.Yaani Urinary tract infection

4.Inazui kutapika na hali ya kuvurugika tumbo

5.Inaondoa gesi tumboni

6.Inashusha sukari kwenye damu.(lower blood sugar)

7.Inapunguza  cholesterol mbaya mwilini.

8.Chanzo kizuri cha nyuzi nyuzi zinazoitajika mwilini ili kuwezesha usagaji mzuri wa chakula (Dietary fiber)

9.Inawafaa sana wanawake ambao hupata hedhi nzito

10.Inaondoa maumivu,muwasho,na uvumbe (anti-inflammatory)

11.Huondoa chunusi na madoa kwenye ngozi Unaweza kuandaa giligiliani katika njia mbalimbali ili kuitumia kama dawa
*.Kuondoa hedhi nzito.
chemsha kijiko 1 cha chai cha mbegu za giligiliani na maji vikombe viwili.Chuja kisha ongeza sukari kidogo.Kunywa ikiwa yamoto au vuguvugu

*.Kuondoa maumivu (Inflamation)
chemsha kijiko kimoja cha chai cha mbegu za giligiliani zilizosagwa  na maji kikombe kimoja.Chuja kisha kunywa ikiwa vuguvugu

*.Kushusha sukari na kushusha cholesterol.
Kunywa chai ya giligiliani (mbegu) mara kwa mara,pia tumia mbegu na majani ya giligiliani kwa wingi kwenye chakula.

*.Ili kuondoa chunusi na madoa meusi.
Twanga au sigina majani yagiligiliani,chuja au kamua ili kupata maji yake.Pima vijiko vinne vya maji ya giligiliani kisha changanya na kijiko 1 cha chakula cha manjano(Binzari manjano).pakaa kwenye ngozi,acha ikauke kisha osha au nawa namaji vuguvugu.

Onyo:
usisugue ngozi.

*.Kutibu kuhara damu (dysentery).
Changanya vijiko 2 vya chai vya maji ya giligiliani na kikombe kimoja cha maziwa fresh ambayo hayajatolewa krim

*.Chai ya giligiliani (mbegu)
husaidia kuondoa au kutuliza asidi tumboni Matumizi ya mara kwa mara ya vyakula ambavyo ni tiba huupa mwili nafasi nzuri ya kuvuna virutubisho na kupata tiba ya magonjwa mbalimbali.

Ni vyema kujua kwamba asilimia kubwa ya vyakula na viungo tulivyonavyo majumbani ni tiba ya magonjwa mbalimbali. Madawa na Tiba nyingi za kisasa pia hutokana na mimea,virutubisho huvunwa kutoka kwenye mimea na vyakula na kuchanganywa na Kemikali ili kutoa vidonge na madawa ya magonjwA mbalimbali.

HERI TIBA CHAKULA KULIKO TIBA DAWA.

IMANI POTOFU KUHUSU AFYA YA KINYWA NA MENO

1.POTOFU:Kupiga mswaki mara nyingi na kwa nguvu huzuia kuoza kwa meno

UKWELI:Si mara ngapi unapiga mswaki na nguvu gani inatumika, suala ni unapigaje mswaki. Kupiga mswaki mara nyingi na kwa maguvu kunaweza kupelekea kukwangua sehemu ngumu ya nje ya jino, kulifanya laini na hatimaye kuuma au hata kuvunjika.

Kupiga mswaki marambili, taratibu na kwa njia sahihi ndicho kinachosaidia meno kuwa na afya

2.POTOFU:Huna haja ya kumuona tabibu wamenokama hujaona au kuhisi una tatizo la meno.

UKWELI:Kila mtu anatakiwa kumuona tabibu wa meno angalau mara mbili kwa mwaka bila kujali meno yake yanaonekana vizuri au imara kiasi gani.

Si meno yote yanayo onekana mazuri na imara ni mazima, mengine yanaweza kuwa yameoza katikamaeneo usiyoweza ona kama chini ya fizi na kwenye mizizi, si hivyo tu hata uoto mpya(neoplasm)uweza kugundulika mapema kabla ya kufanya uaribifu mkubwa kama utachunguzwa na wataalamu.

Kumbuka pia mangonjwa ya mifumo mingine kama ukimwi,kisukari na mengine mengi hujidhihirisha mapema kinywani kabla mgonjwa hajapata dalili zingine.

3.POTIFU:Usile kitu chochote unapo kwenda kung’oa jino

UKWELI:Njaa inaweza kukufanya uzirahi katika zoezi la kungoa jino, hofu ikichanganyika na sukari kidogo mwilini husababisha ubongo kushindwa kufanya kazi sawa sawa.

Imani hii potofu inahusishwa na sindano ya ganzi, watu wengi wanafikiri kila ganzi inatakiwa mtu awe hakula kwa muda fulani.

Hii kwa matibabu ya meno sio kweli kwani ganzi hutolewa kwenye eneo husika tu(local anaesthesia)hivyo haiathili mwili mzima.

4.POTOFU:Usitoe jino au kufanya matibabu ya mzizi wa jino kama una uvimbe hasa usaha

UKWELI:Kung’oa jino au matibabu ya mzizi wa jino yanasaidia kutoa nafasi/njia kwa usaha kutoka na hivyo kupona haraka pengine bila hata kuhitaji dawa(antibiotics).Yaweza kuwa kweli pale tu kama mgonjwa atukuwa na homa au hawezi fungua kinywa ambapo itabidi udhibiti homa kwanza, na kama ni kushindwa kufungua kinywa yabidi kuacha na kutibu kinacho mfanya ashindwe kufungua kinywa kwanza.

5.POTOFU:Mama mjamzito hastahili kutoa jino mpaka atakapo jifungua

UKWELI:Kumuacha mama mjamzito na maumivu pamoja na ugonjwa kwaweza kufanya ugonjwa kusambaa na kuingia kwenye ubongo hata kupelekea kifo cha mama na kiumbe chake. Pia maumivu makali yaweza kusababisha mimba kutoka.

6.POTOFU:Njia ya uhakika ya kutibu jino ni kuling’oa

UKWELI:Ziko njia nyingi na za uhakika za kutibu jino bila kungoa. Kung’oa jino kama tiba ni pale tu ambapo jino hilo haliwezi tibika kwa njia yeyote na kukaa kwake kwa weza kuleta madhara zaidi.

Kutoa jino huleta madhara mengine na meno bandia pamoja na kwamba hayawezi kurejesha kazi za meno yaliyotoka kwa kiwango halisi, lakini pia utunzaji wake ni mgumu na gharama pia. Hata hivyo kama umelazimika kupoteza meno basi meno bandia ndilo chaguo pekee.

7.POTOFU:Kuweka dawa ya kutuliza maumivu kama aspirini kwenye tobo kunasaidia kutoa maumivu.

UKWELI:Kama ilivyo kwa magonjwa mengine, kutuliza maumivu wakati kisababishi cha maumivu hakija shugulikiwa ni kulikuza tatizo kwa gharama.Mbali na hivyo dawa kama aspirini uunguza fizi zilizozunguka jino ulimoiweka, pia ulilainisha(weaken)na kufanya uotaji wake uwe mgumu kwani uvunjika vunjika hovyo hovyo

8.POTOFU:Kutoa jino husababisha kifo

UKWELI:Kuendelea kukaa na jino lililooza na halifai kuzibwa hufanya ugonjwa kusambaa na kusababisha kifo. Unaonekana kama ukweli pale tu mgonjwa anakuja hospitalini kutoa jino

9.POTOFU:Meno mazuri urithishwa(inherited)

UKWELI:Eti kwa vile tu mama au baba ana meno mazuri na mazima na wewe utakuwa hivyo au kinyume chake.

Urithi unachangia kiasi kidogo sana, utunzaji wa meno vizuri na kukutana na tabibu wa meno mara kwara ndio njia muhimu ya kuweka meno na kinywa chako sawa.

10.POTOFU:Hakuna haja ya kuhangaika na meno ya utotoni kwani yatatoka baada ya muda wake kufika

UKWELI:Meno ya utotoni yasipotunzwa vizuri yanaweza kusababisha kutoka/ kutolewa kabla ya muda wake na kupelekea meno ya ukubwani kuota kwa mpangilio usiopendeza, lakini pia katika kipindi cha mchanganyiko wa meno ya ukubwani na utotoni, meno ya utotoni yaliyooza yaweza ambukiza ya ukubwani.

11.POTOFU:Maumivu ya meno yatajiishia yenyewe baada ya muda.

UKWELI:Kama jino limeoza haliwezi pona kwa namna yoyote mpaka lipate tiba hata kama haliumi. Ukiendelea kulidharau ugonjwa unaweza kusambaa mpaka maeneo mengine kama ubongo, kifuani na hatimaye kusababisha kifo.

Angalizo:
Ni asilimia tano tu kati ya wagonjwa ambao tatizo la jino limesambaa hadi kwenye ubongo ndio huweza kupona..

MACHUNGWA,ZABIBU HUPUNGUZA UWEZEKANO WAKUPATA KIHARUSI

Utafiti mpya uliofanyika nchini Marekani umesema ya kwamba kula machungwa na zabibu kunaweza kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi (Stroke).

Utafiti huo uliangalia faida za matunda chachu(Citrus Fruit)pekee kwa mara ya kwanza tofauti na tafiti nyingi ambazo tumezizoea zinazoangalia umuhimu wa matunda na mboga za majani kwa afya kiujumla.

Utafiti huu umehusisha maelfuya wanawake wanaoshiriki katika tafiti ya manesi Nurse’s Health Study lakini wataalamu wanaamini faida hizo za machungwa na zabibu pia zinapatikana kwa wanaume.

Timu ya watafiti katika chuo cha Norwich Medical School katika Chuo Kikuu cha East Anglia wamechunguza umuhimu wa kemikali aina yaflavonoids ambayo ni jamii ya antioxidant(kemikali zinauwa kemikali hatari za kwenye mwili) inayopatikana katika matunda, mboga za majani, chocolate nyeusi na wine nyekundu.

Utafiti huu ulifuatilia takwimu za miaka 14 za wanawake 69,222 ambao walikuwa wakishirki katika tafiti kwa kuandika kiwango chao cha kulamatunda na mboga za majani kwa kila kipindi cha miaka 4.

Timu hiyo ya utafiti iliangalia uhusiano wa aina sita yaflavonoids - flavanones, anthocyanins, flavan-3-ols, flavonoid polymers, flavonolsnaflavonesna hatari ya aina mbalimbali za kiharusi kama Ischaemic, Hemorrhagic na Total Stroke.

Ilionekna wanawake waliokula kiwango kikubwa cha flavanones kwenye matunda chachu walikuwa na asilimia 19 ya uwezekano wa kupunguza kiharusi kulinganisha na wanawake ambao walikula kiwango kidogocha matunda hayo.

Kiwango kikubwa cha flavanones kilikuwa 45mg kwa siku kulinganisha na kiwango kidogo cha 25mg kwa siku. Utafiti huu ulichapishwa katika jarida la Medical Journal Stroke umesema flavanones hupatikana kwa asilimia 82 kwenye machungwa na juisi ya machungwa na hupatikana kwa asilimia 14 kwenye zabibu na juisi ya zabibu.

Hata hivyo watafiti hao wamesema kwa wale wenye kusudio la kuongeza kiwango kikubwa cha flavanones itawalazimu kula tunda la chungwa kwa wingi na si juisi za machungwa zinazotengenezwa kiwandani kutokana na kiwango kikubwa cha sukari kinachopatikana katika juisi hizo za viwandani.

Professa Aedin Cassidy wa masuala ya lishe bora(nutrition)na ambaye alikuwa kiongozi wa utafiti huo amesema “kula kwa wingi kwa matunda, mboga za majani, na hasa Vitamin C uhusishwa na kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi”.

Flavanones hutoa kinga dhidhi ya kiharusi kutokana na kuongeza ufanisi wa mishipa ya damu kwenye ubongo na kutokana na kuwa na uwezo wa kuzuia maambukizi mwilini (Anti-inflammatory effect).

Utafiti uliofanyika hapo awali ulionyesha ya kwamba ulaji wa matunda chachu na juisi yake na si matunda ya aina nyingine yoyote hupunguza uwezekano wa kupata kiharusi aina ya Ischaemic Strokena kuvuja damu kwenye ubongo(Intracerebral Haemorrhage).

Utafiti mwingine uliofanyika kipindi cha nyuma ulionyesha hakuna uhusiano wowote wa matunda ya njano na machungwa katika kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi lakini ulionyesha ya kwamba kuna uhusiano wa zabibu na mapeasi wa kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi.

Katika utafiti mwingine uliofanyika nchini Sweden umeonyesha ya kwamba wanawake ambao walikula kiwango kikubwa cha antioxidant karibia asilimia 50 kutoka kwenye matunda na mboga za majani, ni wachache tu kati yao waliopata kiharusi ikilinganishwa na wanawake ambao walikuwa na kiwango kidogo chaantioxidant.

Matokeo ya utafiti huu yasiwafanye watu kuacha kula matunda ya aina nyingine pamoja na mboga za majani kwani nayo yana faida kubwa katika mwili wa binadamu.Kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi inawezekana kama mtu atakula lishe bora iliyo na virutubisho vyote muhimu, kula matunda na mboga za majani kwa wingi, kufanya mazoezi mara kwa mara, kupunguza kiwango cha ulaji chumvi (kwani watu wenye asili ya Kiafrika wana kiashiria cha asili kinachojulikana kama salt retention geneambacho hufanya kiwango kidogo cha matumizi ya chumvi mwilini kuonekana kama kiwango kikubwa na hivyo kuongeza hatari ya kupata kiharusi), kupunguza uzito (kuwa kwenye uzito unaotakikana kiafya kulingana na umri na urefu wako), kupunguza kiwango cha matumizi ya mafuta katika chakula, kulala masaa ya kutosha na kupunguza msongo wa mawazo.

FAIDA ZA KIAFYA ZA KITUNGUU SWAUMU.(GARLIC)

Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaalamu huitwa Allium sativum. Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000 iliyopita.
Matumizi makuu nyakati hizo yakiwa viungo katika mboga na tiba.
Kitunguu swaumu kimetajwa kwenye vitabu mbalimbali vya dini vikielezea faida zake katika kutibu maradhi mbalimbali yasababishwayo na bakteria, matatizo katika mapafu, matatizo katika mfumo wa umen'genyaji chakula, na matatizo ya kuishiwa nguvu.
Historia inaonesha kuwa, vitunguu swaumu vilianza kutumika China mwaka 510 K.Kna pia vilitumiwa na wanajeshi wa Ugiriki na Roma.
Aidha wasafiri wa vyombo vya baharini na vijijini pamoja na wakulima barani Afrika walivitumia sana.
Mwaka 1858, mtafiti na mwanasayansi wa nyakati hizo, Louis Pasteur aligundua uwezo wa kitunguu swaumu katika kuua vimelea mbalimbali vinavyosababisha magonjwa, nahivyo vikaanza kutumika kama dawa ya kusafishia vidonda na kuzuia kidonda ndugu hasa zama za vita ya kwanza na pili ya dunia.
Isitoshe, mpaka sasa zipo dawa kadhaa zilizotengenewa kwa kutumia jamii hii ya vitunguu swaumu ikiwemo dawa ya kusafisha mdomo (mouth wash) ingawa watumaiji wake wengi huilalamikia dawa hiyo kwa sababu ya harufu mbaya ya dawa hiyo inayowasababishia kunuka kwa mdomo.

Faida za vitunguu swaumu:
Katika tafiti mbalimbali vitunguu swaumu vimeonekanakuwa na uwezo wa kutibu maambukizi ya bakteria, fangasi na virusi vya aina mbalimbali. Aidha husaidia kuzuia magonjwa ya moyo ikiwemo kuondoa lijamu katika mishipa ya damu na hivyo kusaidia katika kurekebisha shinikizo la damu.


NAMNA YAKUTUMIA TANGAWIZI KAMA TIBA

Kutibu kutokusagika kwa chakula tumboni, Gesi tumboni, Msokoto wa tumbo (bila kuharisha), Kutapika, Mshtuko/Mkazo wa ghafula (wa msuli),Maumivu ya tumbo na Kibofu cha mkojo ikiambatana na Homa, Mafua, Kukohoa na Pumu.TUMIA JAM YA TANGAWIZI.

JINSI YA KUTENGENEZA JAM YA TANGAWIZI:
Kamua TANGAWIZI mbichi kisha changanya maji yake (Juice) na Sukari. Chemsha mpaka mchanganyiko huo uwe mzito. Ongeza Zafarani iliyosagwa,Iliki iliyosagwa, Kungumanga zilizosagwa na karafuu iliosagwa. Iweke dawa hii vizuri na tumia inapo hitajika.

KWA KUVIMBIWA NA KUTAKA HAMU YA KULA.
Changanya Juice ya TANGAWIZI, Juice ya Limau na Chumvi Mawe kwa vipimo vilivyo sawa. Hakikisha umechanganya vizuri. Kunywa dawa hii kabla ya Chakula.Vingineyo changanya vipimo vilivyo sawa sawa vya Juice ya TANGAWIZI na Sukari Mawe. Koroga vizuri, kunywa kabla ya kula chakula. Dawa hii husafisha Ulimi na Koo na hukuongeza hamu ya kula na kukufanya mchangamfu.

MAUMIVU YA KOO NA KUKAUKA SAUTI.
Tafuna vipande vidogo vya Tangawizi.

KWA KUHARISHA.
Chua sehemu zinazozunguka kitovu kwa Juice ya Tangawizi.

KWA KISUKARI.
Kunywa Juice ya Tangawizi iliyochanganywa na Sukari mawe.

KIUNGULIA, KUKOSA HAMU YA KULA NA BAWASIRI.
Tumia Samasarkara Churna.

KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA.
Kunywa mchanganyiko wa Juiceya Tangawizi na Juice ya Kitunguu.

MAUMIVU YA KICHWA CHA WASIWASI.
Changanya Juice ya Tangawizi na Maziwa, kisha kausha. Nusa unga huo kama Tumbaku.

MAUMIVU MAKALI YA TUMBO.
Changanya kijiko kimoja cha au viwili vya Tangawizi iliyosagwa na kijiko kimoja au viwili vya mafuta ya Kastoroli. Kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku.

BARIDI YA BISI SUGU.
Changanya kijiko kimoja cha Tangawizi ya unga na vijiko 24 vya maji kunywa mchanganyikohuu ukiwa vuguvugu. Ulale na ujifunike mpaka utoe jasho.

KUUMWA JINO NA MAUMIVU YA KICHWA.
Chukua Tangawizi ya Unga koroga na maji kidogo iwe nzito kama tope. Jipake na uchue kwenye paji lako la uso kabla ya kulala. Kwa Jino jipake na uchuwe kwenye Shavu.

NAMNA YA KUTUMIA BAMIA KAMA TIBA

Chimbuko la Bamia ni Abyssinia (Ethiopia) Kisha ikaenea Duniani kote.

1. Michirizi na utonvu unaopatikana katika Bamia, husaidia kusawazisha Kisukari kwa kuzuia kiwango cha Sukari inayotumika katika mwili kutoka kwenye utumbo mkubwa.

2. Utelezi wa bamia huchuja uchafu unaoingia katika Kolestorali (cholesterol) na asidi ya Nyongo unaoingia kutoka kwenye Ini ambao usipodhibitiwa huenda ikasababisha matatizo ya ki-afya.

3. Bamia husaidia kulainisha Utumbo mkubwa (large intestines) kutokana na kazi yake ya kulainisha choo.

4. Bamia hutumika kwa kutibu vidonda vya Tumbo inasaidia kusawazisha Asidi.

Magonjwa Maalum..

Asidi ya Kujirudia rudia na Kufunga Choo:
Tafuna vipande sita vya Bamia bila kutumia dawa nyigine kilasiku na Asidi ya Kujirudia rudia na kufunga choo kutakwisha, inashusha Sukari kutoka 135 hadi 98

Pumu:
Bamia ina Vitamin C ambayo inawafana watoto wanaougua ugonjwa wa pumu kupumua vizuri wanapoitumia. Nusu kikombe ya Bamia iliyopikwa huwa na miligramu 13 ya vitamin C.

Kidonda Ndugu (Cancer):
Bamia husaidia kuweka Utumbo kuwa na hali nzuri hivyo kupunguza uwezakano wakuugua ugonjwa huu wa Kansa hasa kwenye utumbo mkubwa.Mishipa midogo ya Damu Kula Bamia kwa wingi kunasaidia kuimarisha Mishipa midogo ya Damu.

Cataracts:
Nusu kikombe cha Bamia iliyopikwa inakua na kiwango cha 460 IU ya vitamin A.ambayo inapunguza uwezakano wa kupata ugonjwa wa mtoto wa jicho (cataracts).Usongo (Depression) na Kukosa Nguvu. Bamia ni mboga bora zaidi kwa wale wanaojisikia dhaifu, Kuchoka na wanao athirika na Usongo (depression).

Usalama:
Hakuna hali yoyote ya tahadhari inyojulikana kwa kutumia mboga hii.

BENEFITS OF CARROTS


1. Improved Vision Western culture's understanding of carrots being "good for the eyes" is one of the few we got right. Carrot sare rich in beta-carotene, which is converted into vitamin A in the liver. Vitamin A is transformed in the retina, to rhodopsin, a purple pigment necessary for night vision.Beta-carotene has also been shown to protect against macular degeneration and senile cataracts. A study found that people who eat the most beta-carotene had 40 percent lower risk of macular degeneration than those who consumed little.


2. Cancer Prevention Studies have shown carrots reduce the risk of lung cancer, breast cancer and colon cancer. Researchers have just discovered falcarinol and falcarindiol which they feel cause the anticancer properties.Falcarinol is a natural pesticide produced by the carrot that protects its roots from fungal diseases. Carrots are one of the only common sources of this compound. A study showed 1/3 lower cancer risk by carrot-eating mice.


3. Anti-AgingThe high level of beta-carotene actsas an antioxidant to cell damage done to the body through regular metabolism. It help slows down the aging of cells.


4. Healthy Glowing Skin(from the inside)Vitamin A and antioxidants protectsthe skin from sun damage. Deficiencies of vitamin A cause dryness to the skin, hair and nails. Vitamin A prevents premature wrinkling, acne, dry skin, pigmentation, blemishes, and uneven skin tone.


5. A Powerful Antiseptic Carrots are known by herbalists to prevent infection. They can be usedon cuts - shredded raw or boiled and mashed.


6. Beautiful Skin(from the outside)Carrots are used as an inexpensive and very convenient facial mask. Just mix grated carrot with a bit o fhoney. See the full recipe here:carrot face mask.


7. Prevent Heart Disease Studies show that diets high in carotenoids are associated with a lower risk of heart disease. Carrot shave not only beta-carotene but also alpha-carotene and lutein.The regular consumption of carrots also reduces cholesterol levels because the soluble fibers in carrots bind with bile acids.


8. Cleanse the Body Vitamin A assists the liver in flushing out the toxins from the body. It reduces the bile and fat in the liver. The fibers present in carrots help clean out the colon and hasten waste movement.


9. Healthy Teeth and Gums It's all in the crunch! Carrots clean your teeth and mouth. They scrape off plaque and food particles just like toothbrushes or toothpaste. Carrots stimulate gums and triggera lot of saliva, which being alkaline,balances out the acid-forming, cavity-forming bacteria. The minerals in carrots prevent tooth damage.


10. Prevent Stroke:From all the above benefits it is no surprise that in a Harvard University study, people who ate more than six carrots a week are less likely to suffer a stroke than those who ate only one carrot a month or less.




Fun Facts on Carrots


*Rabbits love to eat carrots but they shouldn't eat too much.Remember that a rabbit eating a single carrot is like us eating over20! They like the sweetness and carrots are good for their teeth and don't have white sugar but even too too many natural sugars will cause digestive problems anddiabetes. They probably would dobetter with the carrot tops. We would benefit from the tops also but probably won't eat them! *.Carrots are the second most popular type of vegetable after potatoes.


*The biggest carrot recorded is more than 19 pounds and the longest is over 19 feet!You can see them here:biggest carrot- but they aren't particularly pretty!


*There are over 100 species of carrots.Some are big. Some are small and they come in a variety of colors including:orange, purple, white, yellow, and red.


*English women in the 1600'softenwore carrot leaves in their hats in place of flowers or feathers.


*The name "carrot" comes from the Greek word "karoton."The beta-carotene that is found in carrots was actually named for the carrot itself!


*The average American eats about 12 pounds of carrots a year.That's only one cup per week. We could easily triple that with great benefits if we were also eating a variety of other vegetables.How To Eat Carrots The nutrition in carrots are tightly encased in protein sacs that have to be broken by heat (cooking) or mechanical action (grinding, juicing,proper chewing). Cooking the carrots in fat or oils, or pureeing or juicing them increases the availability of carotenoids by 600 percent.Fats help the absorption of carotenoids into the blood by 1000 percent as carotenoids are fat soluble.




Recipes with Carrots:


Carrots with A rame:Seaweed recipe for health.


Carrots with Orange:A surprising but delightful combination… and it's fast!


Chili Con Vege :Diana's version of chili filled with carrots.

USES FOR COCONUT OIL

1.In cooking as a great oil with a high smoke point. Great for baking, stir-frysor as a dairy free replacement to butter. 2.Taken supplementally for daily energy 3.As acoffee creamer when emulsified into coffee(The only way I’ll drink coffee) 4.On the skin as a basic lotion 5.Inhomemade lotion barsfor soft, smooth skin 6.Inhomemade deodorantordeodorant bars 7.As an eye-makeup remover 8.As a cloth diaper safe diaper cream (just rub on baby’s bottom) 9.In making your ownRemineralizing Toothpaste 10.To lighten age spots when rubbed directly on the skin 11.To prevent stretch marks during pregnancy 12.To support healthy thyroid function 13.Inhomemade Mayowithout the high PUFA vegetable oils 14.To helpincrease sun tolerance and avoid burning 15.As a naturally SPF 4 sunscreen 16.Inhomemade lotion recipes 17.To get rid of cradle cap on baby- just massage in to head, leave on fora few minutes and gently rinse with a warm wash cloth 18.Topically to kill yeast oryeast infections 19.As a delicious tropical massage oil 20.It’s high Lauric acid andMCFA content helps boost metaboism 21.A tiny dab rubbed on your hands and then through hair will help get rid of friz 22.As an intensive nighttime facial moisturizer 23.Mixed with equal parts sugar for asmoothing body scrub(use in the shower) 24.Rubbed on lips as a natural chap stick 25.Topically, can help skin heal faster after injury or infection 26.Directly on the perineum to help heal after birth 27.As an incredibly intensive natural conditioner- Rub into dry hair, put a shower cap on and leave for several hours 28.On feet to fight athlete’s foot or tor fungus 29.In place of Lanolin cream on nursing nipples to sooth irritation (also great forbaby!) 30.Can help sooth psoriasis or eczema 31.There is some evidencethatregular ingestion of coconut oil can help prevent or reverse Alzheimers 32.With apple cider vinegar as anatural treatment for lice that actually works 33.In naturalHomemade Sunscreen 34.In healthy brain boosting snack for kids likeCoconut Clusters 35.In a filling and energy boostingBrain Powder Smoothie 36.Rub coconut oil on the inside of your nose to help alleviate allergy symptoms 37.Nursing moms can take3-4 tablespoons a day (and Vitamin D) to increase milk supply and nutrients 38.There is some evidencethat coconut oil helps digestion and may even kill intestinal parasites or yeast 39.Mix a tablespoon with a tablespoon ofchia seedsfor an all-day energy boost (do NOT take this at night!) 40.Can help improve insulin levels41.Oil pulling with coconutoil and a drop of oregano oil helps improve gum health42.Can helpimprove cholesterol ratios43.Blend a tablespoon into hot tea to help speed recovery from cold or flu44.InHomemade Natural Bug-Off Lotion Bars45.As a replacement for vegetable oils in any recipe46.Better for high-temperature cooking than olive or vegetable oils47.Can help reduce appearance of varicoseveins48.After initial heat is gone, can help speed healing of sunburn49.Is an immediate sourceof energy when eaten and isn’t stored as fat50.As a natural personal lubricant that won’t disturb vaginal flora51.As a naturally antibacterial skin cream52.Innatural homemade diaper cream53.As a natural shave cream and after shave lotion54.When used consistentlyon skin it can help get rid of cellulite55.To season cast iron skillets56.It’s anti-inflammatory properties can help lessen arthritis57.Can reduce the itch of mosquito bites58.Can help resolve acne when used regularly59.Can be rubbed into scalp daily to stimulate hair growth60.I’ve used in kids ears tohelp speed ear infection healing61.On split ends to de-frizz62.A small amount can be rubbed into real leather to soften and condition (shiny leatheronly… test a small areafirst)63.By itself as a great tanning oil64.Mixed with salt to remove dry skin on feet65.Can help speed weight loss when consumed daily66.Can help improve sleep when taken daily67.Can be used to speed healing of fungal infections when taken internally and used externally68.A tablespoon melted into a cup of warm tea can help sooth a sore throat69.To help sooth the itch of chicken pox or poison ivy70.It has been shown to increase absorption of calcium andmagnesium71.Internally as part of theprotocol tohelp remineralize teeth72.Some evidence shows that the beneficial fats in coconut oil can help with depression and anxiety73.By itself as a natural deodorant74.By itself or with baking soda as a naturally whitening toothpaste75.For pets struggling with skin issues when used externally76.Some evidence suggests that the beneficial fats in coconut oil are helpful for those with Autism77.Inhomemade vapor rub78.As a safe cooking oil fordeep frying79.A tablespoon taken before each meal can help improve digestion80.Can be taken in warm ginger tea to sooth heartburn or nausea81.As a completely naturalbaby lotion82.On hands after doing dishes to avoid dry skin83.Mixed with catnip, rosemary, or mintessential oilsas a natural bug repellent84.Can be used on mom’s nipple and baby’s mouth to help treat thrush85.Many use it as an anti-aging facial moisturizer86.Use to makecoconut cream concentratefor a brain boosting snack87.Can be used internally and externally to speedrecovery from UTIs88.When taken regularly, it can help fight candida89.When taken regularly, it can boost hormone production90.Can relieve the pain of hemorrhoids when used topically91.Can boost circulation and help those who often feel cold92.On cuticles to help nailsgrow93.Rub into elbows daily to help alleviate dry, flaky elbows94.Add to smoothies to give them a nutritional boost95.Internally during pregnancy to help provide baby necessary fats for development (especially when taken with Fermented Cod Liver Oil)96.In any recipes where vegetable oils are used97.Whipped withshea butterfor a soothing body balm98.One reader swears by using coconut oil to treat yeast infection. She suggests soaking a tampon in it and inserting the tampon for a few hours.99.Naturally clears up coldsores100.Ingestingcoconut oildaily can help with allergy symptoms101.Ingestingcoconut oildaily can increase mental alertness

USES FOR COCONUT OIL

160 Uses for Coconut Oil
1. Age Spots (also known as liver spots) – applying coconut oil directly to the age spot will help it fade.
2. After Shave – coconut oil will help heal your skin after shaving without clogging pores. Great for razor burn!
3. Baldness – apply three times a day to affected area of hair loss. Coconut oil supports cell regeneration.
4. Birth Marks – can be used after a laser removal treatment to aid in healing. Can also be applied after an apple cider vinegar treatment to help support and aid the fading process.
5. Body Scrub – mix coconut oil and sugar together and rub all over! Rinse off and your skin will be super soft! You can add in essential oils if you would like a specific smell.
6. Bruises – applied directly to the bruise, coconut oil enhances the healing process by reducing swelling and redness.
7. Bug Bites – when applied directly to a bug bite, coconut oil can stop the itching and burning sensation as well as hasten the healing process.
8. Burns – apply to burn site immediately and continue applying until healed. Will reduce the chances of permanent scarring and promotes healing.
9. Chapstick – just rub a little into lips and it not only acts as a softening agent but it also has an SPF of about 4 so you get a little protection!
10. Cradle Cap – having issues with dry skin on your baby’s scalp? Coconut oil will not only nourish your baby’s skin, it also helps eliminate cradle cap. Just rub a teaspoon onto scalp daily.
11. Dandruff – coconut oil soaks into the scalp moisturizing dry skin and relieves symptoms of dandruff. It also helps to control oil secretion from the scalp, another leading cause of dandruff.
12. Deodorant – coconut oil alone can be used as a deodorant, but even more effective in combination with cornstarch/arrowroot powder and baking soda!
13. Diaper Salve – very comforting on a rashy bum with no harsh chemicals. Also safe for cloth diapers.
14. Exfoliator – coconut oil mixed with sugar or sea salt is a very nourishing and effective exfoliator and safe to use all over the body.
15. Eye cream – apply under the eyes to reduce puffiness, bags and wrinkles. Use on the lids in the evening.
16. Face Wash/ Soap – mix equal parts coconut oil with olive oil, almond oil, avocado oil and castor oil and use in place of soap when washing your face. Wet face, rub oil in and leave on for two minutes, rinse and pat dry. One teaspoon should be adequate.
17. Hair conditioner/ Deep Treatment – use as a leave-in hair conditioner by applying a teaspoon of coconut oil to your ends and then running your fingers through your hair to distribute the rest! For a deeper treatment, rub in a tablespoon of coconut oil onto your dry scalp and gently work through to the ends. Put a shower cap on to prevent transfer onto bed linens and leave on overnight.
18. Hair Gel/ Defrizzer – rub a little between your palms and either scrunch into hair (for curly hair) or finger comb in through from scalp to ends (for wavy/straight hair).
19. Healing - when applied on scrapes and cuts, coconut oil forms a thin, chemical layer which protects the wound from outside dust, bacteria and virus. Coconut oil speeds up the healing process of bruises by repairing damaged tissues. Plus, it smells a heck-of-a-lot better than anything from the pharmacy.
20. Lubricant – it is an all-natural, perfectly safe personal lubricant. Not compatible with latex!
21. Makeup Remover – use a cotton swab and a dab of coconut oil and you would be amazed at how well it works!
22. Massage Oil – pretty simple; grab some and rub!
23. Moisturizer – simply scoop some out of the jar and apply all over your body, including neck and face.
24. Mole Remover – when applied after an apple cider vinegar compress for several weeks, moles have been known to “slide off” or just disappear.
25. Nipple Cream – works great to nourish cracked, sore or dry nipples. Apply to a cotton ball and leave on your nipples between feedings.
26. Oily Skin Fix – prone to oily skin or an oily T-zone? Use a pea sized amount underneath makeup or alone to reduce the appearance of oil
27. Pre Shampoo Treatment for Hair – rub a little into scalp and hair before shampooing. This is especially useful for those with course or frizzy hair.
28. Pre-Shave – coconut oil will prep skin for the pending damage caused by shaving.
29. Skin Problems – coconut oil relieves skin problems such as psoriasis, dermatitis, and eczema.
30. Stretch Mark Cream – coconut oil is great at nourishing damaged skin. It may not be the magic stretch mark cure but it will help.
31. Sun Burn Relief – rub liberal amounts of coconut oil into the affected area.
32. Sunscreen – see my post on natural sunscreen for more detailed information.
33. Swimmers Ear – mix garlic oil and coconut oil and put a few drops in affected ear for about 10 minutes. Do this 2-3 times a day and it usually works within one or two days.
34. Tattoo Healing and Moisturizer – continued use of coconut oil on tattoos will help keep the pigment from fading. Used on new tattoos, coconut will hasten the healing process and decrease the chance of infection.
35. Toothpaste – there are numerous recipes out there but I just mix coconut oil and baking soda and dab a little of the mix on my toothbrush
36. Wrinkle Prevention and Wrinkle Reducer – rubbing coconut oil on winkles and sagging skin helps strengthen the connective tissues to bring back that youthful look! Coconut Oil for General Health and Wellness
 37. Breastfeeding – for breastfeeding moms, consuming 3 ½ tablespoons of coconut oil daily will enrich the milk supply.
38. Bones and Teeth – coconut oil aids in the absorption of calcium and magnesium leading to better development of bones and teeth.
39. Digestion - the saturated fats in coconut oil help control parasites and fungi that cause indigestion and other digestion related problems such as irritable bowel syndrome. The fat in coconut oil also aids in the absorption of vitamins, minerals and amino acids, making you healthier all around.
40. Energy Boost – coconut oil boosts energy and endurance making it a great supplement for athletes as well as those needed a quick pick me up.
41. Fitness - coconut oil has been proven to stimulate your metabolism, improve thyroid function, and escalate energy levels, all of which help decrease your unwanted fat while increasing muscle.
42. Improves insulin secretion and utilization of blood glucose making it great for both diabetics and non-diabetic.
43. Lung Function – increases the fluidity of cell surfaces.
44. Nausea – rub some coconut oil on the inside for the wrist and forearm to calm an upset stomach. 45. Nose bleeds – coconut oil can prevent nose bleeding that is caused by sensitivity to weather such as extreme heat and extreme cold. This condition happens when the nasal passages become dry because of cold or dry air resulting to burns and cracks in the mucus membranes so bleeding happens. To prevent this just put coconut oil in you nostrils. Coat your finger with coconut oil and then lie down and coat your finger inside your nose. Doing this will strengthen and protect the capillaries in the nasal passages. A Vitamin C supplement will also help prevent nose bleeding.
46. Oil pulling with coconut oil offers a two for one health benefit!
47. Stress Relief – relieve mental fatigue by applying coconut oil to the head in a circular, massaging motion. The natural aroma of coconuts is extremely soothing thus helping to lower your stress level.
48. Vitamin and nutrient absorption
49. Weight loss - the saturated fats contribute to weight loss and controlling cravings. Also increases metabolic rate. Coconut Oil for Health Problems (when taken internally it is known for aiding, preventing, relieving or even curing these health issues)
50. Acid reflux/indigestion aid if taken after a meal
51. Adrenal fatigue
52. Allergies (seasonal hay fever)
53. Alzheimer’s/Dementia
54. Asthma,
55.even in children
56. Bowel function
57. Bronchial Infections
58. Cancer (has been shown to prevent colon and breast cancer in laboratory tests)
59. Candida Albicans
60. Cholesterol – improves HDL (‘good’ cholesterol) to LDL (‘bad’ cholesterol) ratio in people with high cholesterol
61. Chronic Fatigue
62. Crohns Disease and resulting inflammation
63. Circulation/feeling cold all the time
64. Colds and Flus
65. Constipation
66. Cystic Fibrosis
67. Depression
68. Diabetes – helps keep blood sugar levels stable and/or helps with cravings
69. Dysentery
70. Eczema – in addition to taking it internally, many have success applying it externally, but some don’t
71. Edema
72. Energy boost
73. Epilepsy (known to reduce epileptic seizures)
74. Fever Support
75. Flaky, Dry Skin
76. Gallbladder disease and pain
77. Gas
78. H. pylori
79. Head Lice
80. Heart Disease (protects arteries from injury that causes atherosclerosis)
81. Hemorrhoids (can applied externally or internally twice a day)
82. HIV
83. Hot Flashes
84. Hyperthyroidism
85. Immune System Builder
86. Irritable Bowel Syndrome
87. Jaundice
88. Kidney Disease
89. Kidney Stones (aids in dissolving them)
90. Liver Disease
91. Lung Disease
92. Malnutrition
93. Mental Clarity
94. Menstruation Relief regarding pain/cramps and heavy blood flow
95. Migraines (with regular use)
96. Mononucleosis
97. Osteoporosis
98. Pancreatitis
99. Parasites
100. Periodontal Disease and tooth decay
101. Prostate Enlargement (benign prostatic hyperplasia)
102. Rickets
103. Skin problems
104. Scurvy
105. Stomach Ulcers
106. Toenail fungus
107. Thrush
108. Thyroid Function (regulates an overactive or underactive thyroid
109. Ulcerative Colitis
110. Underactive thyroid gland – results have shown subsequent thyroid blood tests becoming normal after ingesting coconut oil daily
111. Urinary Tract Infections (Bladder Infections) Coconut Oil and Health Problems (when applied topically it is known for aiding, relieving, or even curing these health issues)
112. Acne
113. Allergies/Hay Fever – rub a little inside the nostrils for quick relief. The pollen will cling to the oil.
114. Athletes foot
115. Back pain/sore muscles
116. Boils and cysts
117. Canker sores
118. Cellulite
119. Circumcision healing – although I am personally against circumcision, I have read that coconut oil is a really great healer for this.
120. Decongestant – rub coconut oil on the chest and under the nose when congested from a cold or allergies
121. Ear infection – place a few drops inside the ear twice daily for relief from pain. Also fights the infection itself.
122. Genital Warts (through topical application over 6 weeks, and coconut oil enemas twice a day depending on the location of the warts)
123. Gum Disease and Gingivitis (use as a toothpaste or rub directly on gums)
124.Herpes (applied topically and taken internally)
125.Hives (reduces the itch and swelling
126. Pink eye (applied around and in the eye)
127. Ringworm
128. Toothache
129. Warts Coconut Oil and Cooking
130. Butter Substitute – use 1 cup to 1 cup ratio when replacing butter in recipes with coconut oil.
131. Nutritional Supplement – melt and add to smoothies.
132. Replacement for butter/lard/Crisco/PAM in its solid form for greasing pans, pie crusts, etc.
133. Replacement for various oils in liquid form – baking, cooking, sautéing, etc. Coconut Oil and Pets/Animals Check with your veterinarian but the recommended dosage for animals is 1/4 teaspoon for every 10 pounds of body weight twice daily.
134. Aids healing of digestive disorders like inflammatory bowel syndrome and colitis
135. Aids in arthritis or ligament problems
136. Aids in elimination of hairballs and coughing
137. Applied topically, promotes the healing of cuts, wounds, hot spots, dry skin and hair, bites and stings 138. Clears up skin conditions such as eczema, flea allergies, contact dermatitis, and itchy skin 139. Disinfects cuts and promotes wound healing
140. Great for dogs and cats for general wellness. Just add a teaspoon to their water bowl daily.
141. Helps prevent or control diabetes
142. Helps sedentary dogs feel energetic
143. Helps reduce weight, increases energy
144. Improves digestion and nutrient absorption
145. Makes coats become sleek and glossy, and deodorizes doggy odor
146. Medium-chain triglycerides (MCTs) have been shown to improve brain energy metabolism and decrease the amyloid protein buildup that results in brain lesions in older dogs.
147. Prevents and treats yeast and fungal infections, including candida
148. Reduces allergic reactions and improves skin health
149. Reduces or eliminates bad breath in dogs
150. Regulates and balance insulin and promotes normal thyroid function Other Uses for Coconut Oil 151. Chewing Gum in Hair Remover – just rub some coconut oil over the stuck chewing gum, leave in for about 30 minutes, then roll the gum between your fingertip. Voila! It’s out!
152. Goo Gone – just mix equal parts coconut oil and baking soda into a paste. Apply to the “sticky” area and let it set for a minute. Then scrub off with an old toothbrush or the scrubby side of a sponge.
153. Insect repellent – mix coconut oil with peppermint oil extract and rub it all over exposed skin. Keeps insects off better than anything with DEET! Tons safer too.
154. Moisturizing and cleaning leather products
155. Oiling wood cutting boards and wood bowls
156. Polishing Bronze – all you have to do is rub a little oil into a cotton towel and then wipe down the statue. It cleans and helps deepen the color of your bronze.
157. Polish Furniture – coconut oil with a little bit of lemon juice to polish wood furniture. However, I recommend you test it first on a very small, unobtrusive part of your furniture to make sure it works the way you’d like.
158. Seasoning animal hide drums
159. Seasoning cookware
160. Soap making – coconut oil can be used as one of the fats in soap.

TUMIENI MAFUTA YA NAZI KWA KILA MARADHI ULIYOKUWA NAYO MWILINI KWA KUNYWA KIJIKO KIMOJA ASUBUHI KABLA YA KULA KITU NA KIJIKO KIMOJA MCHANA KABLYA KULA KITU NA KIJIKO KIMOJA USIKU KABLA YA KULA KITU NA UWE UNAJIPAKA MWILINI KWA AJILI YA MARADHI YA NGOZI NA MAUMIVU YA MWILI NA UJIPAKE KILA UMALIZAPO KUOGA.

FAIDA YA KITUNGUU NA JUISI YAKE


Kitu kimoja napenda kukuhakikishia kuwa, unayoyasoma hapa kuhusu kitunguu, tayari yalishafanyiwa utatifi na kuthibitishwa na wataalamu waliobobea katika masuala ya vyakula tangu enzi za mababu zetu. Vile vile, watu wanaoamini lishe kama tiba na kutumia, matokeo yake siku zote huwa dhahiri na wako wengi wanaoweza kuthibitisha jinsi afya zao zilivyo imara leo tofauti na miaka kadhaa iliyopita kabla ya kugundua siriya chakula kama tiba.




JINSI YA KUTENGENEZA...


Kinachotakiwa ni kitunguu maji kimojacha ukubwa wa wastani ambacho utatengenezea juisi na kupata kiasi chaglasi moja saizi ya kati. Safisha kitunguu chako kwa kuondoa gamba lajuu kisha katakata vipande vidogo vidogo ili kurahisisha usagaji. Kuna njia mbili unazoweza kuzitumia kutengeneza juisi hiyo.




Ya kwanza ni ya kisasa ambapo unaweza kutumia 'blender' au 'juicer', kwa kuweka maji kidogo na kuanza kuisaga hadi kupata juisi.




Njia ya pili ni ya kiasili, ambapo utatumia kinu kidogo na maji kidogo kwa kutwangwa hadi kupata juisi. Ukimaliza kusaga (kwa njia utakayoitumia) kamua na ichuje juisi yako kwa kutumia chujio la kawaida ili kupata juisi pekee ya kitunguu na kuacha masalia ya maganda peke yake.


Mara baada ya kuiweka juisi yako kwenye glasi, HAKIKISHA UNAINYWA HAPO HAPO. Hairuhusiwi kuihifadhi au kuinywa baadaye, kwa sababu itapoteza virutubisho vyake muhimu. Kunywa glasi moja mara moja kwa sikuau mara mbili, ukiona tatizo lako ni kubwa. Fanya zoezi hilo la kundaa juisi na kuinywa kwa muda wa siku saba hadi 14.


Kama nilivyoeleza wiki jana, hali ya kuchafuka kwa tumbo na kujisikia vibaya baada ya kunywa, isikuogopeshe, baadaye utaizoea na utajisikia vizuri zaidi. Mbali ya kutibu tatizo la kusikia maumivu na kutokwa na damu wakati wa kwenda haja kubwa (Hemorrhoids au piles), juisi hiyo pia itatoa ahueni aukinga kubwa dhidi ya matatizo mengine ya kiafya yafuatayo: Pumu, mafua, magonjwa ya kuambukizwa na bakteria, matatizo ya kupumua kwa shida, kiungulia na kutapika. Itaongeza kinga ya mwili dhidi ya magonjwa nyemelezi, vile vile kwa kutafuna vitunguu vibichi na kukaanavyo mdomoni kwa sekunde kadhaa, kutaua bakteria wote wa kinywani na kutoa kinga dhidi ya kuoza kwa meno na kuondoa harufu mbaya. Ulaji wa vitunguu maji vibichi mara kwa mara, hulainisha damu na kuzuia kuganda ambako husababisha mishipa kuziba na kusababisha magonjwa ya moyo, ikiwemo presha ya kupanda.


Juisi ya kitunguu ni dawa mara moja yakuzuia kutapika, mtu anayetapika mfululizo akinywa juisi ya kitunguu, hupata nafuu haraka. Vile vile juisi hii ni dawa ya tumbo linalouma na hutoa kinga dhidi ya magonjwa ya uvimbe tumboni. Kama unasumbuliwa na chunusi, pakaajuisi ya kitunguu iliyochanganywa na asali sehemu yenye chunusi vitaondokana kukuacha na ngozi nyororo. Chukua kiasi kidogo cha juisi na kijiko kimoja kidogo cha asali changanya kisha pakaa. Juisi ya kitunguu pia ni dawa ya kutibu majeraha ya kuumwa na nyuki. Kama unapata maumivu wakati wa haja ndogo au unatoa mkojo mchafu sana, kunywa maji mengi yaliyochanganywa na juisi ya kitunguu kiasi kidogo, tatizolitakwisha. Juisi ya kitunguu ina virutubisho vyenye uwezo wa kudhibiti chembechembe hai za mwili zenye kansa na hivyo kuwa kinga nzuri dhidi ya ugonjwa wa saratani (cancer). Ulaji wa vitunguu au juisi pia hutoa ahueni kwa mgonjwa wa kifua kikuu.


Juisi iliyopashwa moto pia ni dawa ya sikio linalouma. Weka matone mawili tu kwa kila sikio linalouma. Juisi ya kitunguu pia ni dawa ya majeraha yatokanayo na moto. Ukiungua, pakaa juisi hiyo sehemu zilozoungua kwa nafuu ya haraka. Pia kitunguu ni dawa ya mbu, pondapondavitunguu, kisha jipakae sehemu za miguu na mikono - mbu hawatakugusa. Faida za kitunguu na juisi yake ziko nyingi na zote ni muhimu kwa ustawi wa afya zetu. Nakushauri kuanzia leo, kunywa juisi hiyo au kula kitunguu katika kila mlo kwa jili ya kutibu maradhi uliyonayo au kwa kuupa mwiliwako kinga imara, na kamwe hutajuta!

FAIDA ZA MAFUTA YA NAZI

160 Uses for Coconut Oil 1. Age Spots (also known as liver spots) – applying coconut oil directly to the age spot will help it fade. 2. After Shave – coconut oil will help heal your skin after shaving without clogging pores. Great for razor burn! 3. Baldness – apply three times a day to affected area of hair loss. Coconut oil supports cell regeneration. 4. Birth Marks – can be used after a laser removal treatment to aid in healing. Can also be applied after an apple cider vinegar treatment to help support and aid the fading process. 5. Body Scrub – mix coconut oil and sugar together and rub all over! Rinse off and your skin will be super soft! You can add in essential oils if you would like a specific smell. 6. Bruises – applied directly to the bruise, coconut oil enhances the healing process by reducing swelling and redness. 7. Bug Bites – when applied directly to a bug bite, coconut oil can stop the itching and burning sensation as well as hasten the healing process. 8. Burns – apply to burn site immediately and continue applying until healed. Will reduce the chances of permanent scarring and promotes healing. 9. Chapstick – just rub a little into lips and it not only acts as a softening agent but it also has an SPF of about 4 so you get a little protection! 10. Cradle Cap – having issues with dry skin on your baby’s scalp? Coconut oil will not only nourish your baby’s skin, it also helps eliminate cradle cap. Just rub a teaspoon onto scalp daily. 11. Dandruff – coconut oil soaks into the scalp moisturizing dry skin and relieves symptoms of dandruff. It also helps to control oil secretion from the scalp, another leading cause of dandruff. 12. Deodorant – coconut oil alone can be used as a deodorant, but even more effective in combination with cornstarch/arrowroot powder and baking soda! 13. Diaper Salve – very comforting on a rashy bum with no harsh chemicals. Also safe for cloth diapers. 14. Exfoliator – coconut oil mixed with sugar or sea salt is a very nourishing and effective exfoliator and safe to use all over the body. 15. Eye cream – apply under the eyes to reduce puffiness, bags and wrinkles. Use on the lids in the evening. 16. Face Wash/ Soap – mix equal parts coconut oil with olive oil, almond oil, avocado oil and castor oil and use in place of soap when washing your face. Wet face, rub oil in and leave on for two minutes, rinse and pat dry. One teaspoon should be adequate. 17. Hair conditioner/ Deep Treatment – use as a leave-in hair conditioner by applying a teaspoon of coconut oil to your ends and then running your fingers through your hair to distribute the rest! For a deeper treatment, rub in a tablespoon of coconut oil onto your dry scalp and gently work through to the ends. Put a shower cap on to prevent transfer onto bed linens and leave on overnight. 18. Hair Gel/ Defrizzer – rub a little between your palms and either scrunch into hair (for curly hair) or finger comb in through from scalp to ends (for wavy/straight hair). 19. Healing - when applied on scrapes and cuts, coconut oil forms a thin, chemical layer which protects the wound from outside dust, bacteria and virus. Coconut oil speeds up the healing process of bruises by repairing damaged tissues. Plus, it smells a heck-of-a-lot better than anything from the pharmacy. 20. Lubricant – it is an all-natural, perfectly safe personal lubricant. Not compatible with latex! 21. Makeup Remover – use a cotton swab and a dab of coconut oil and you would be amazed at how well it works! 22. Massage Oil – pretty simple; grab some and rub! 23. Moisturizer – simply scoop some out of the jar and apply all over your body, including neck and face. 24. Mole Remover – when applied after an apple cider vinegar compress for several weeks, moles have been known to “slide off” or just disappear. 25. Nipple Cream – works great to nourish cracked, sore or dry nipples. Apply to a cotton ball and leave on your nipples between feedings. 26. Oily Skin Fix – prone to oily skin or an oily T-zone? Use a pea sized amount underneath makeup or alone to reduce the appearance of oil. 27. Pre Shampoo Treatment for Hair – rub a little into scalp and hair before shampooing. This is especially useful for those with course or frizzy hair. 28. Pre-Shave – coconut oil will prep skin for the pending damage caused by shaving. 29. Skin Problems – coconut oil relieves skin problems such as psoriasis, dermatitis, and eczema. 30. Stretch Mark Cream – coconut oil is great at nourishing damaged skin. It may not be the magic stretch mark cure but it will help. 31. Sun Burn Relief – rub liberal amounts of coconut oil into the affected area. 32. Sunscreen – see my post on natural sunscreen for more detailed information. 33. Swimmers Ear – mix garlic oil and coconut oil and put a few drops in affected ear for about 10 minutes. Do this 2-3 times a day and it usually works within one or two days. 34. Tattoo Healing and Moisturizer – continued use of coconut oil on tattoos will help keep the pigment from fading. Used on new tattoos, coconut will hasten the healing process and decrease the chance of infection. 35. Toothpaste – there are numerous recipes out there but I just mix coconut oil and baking soda and dab a little of the mix on my toothbrush. 36. Wrinkle Prevention and Wrinkle Reducer – rubbing coconut oil on winkles and sagging skin helps strengthen the connective tissues to bring back that youthful look! Coconut Oil for General Health and Wellness 37. Breastfeeding – for breastfeeding moms, consuming 3 ½ tablespoons of coconut oil daily will enrich the milk supply. 38. Bones and Teeth – coconut oil aids in the absorption of calcium and magnesium leading to better development of bones and teeth. 39. Digestion - the saturated fats in coconut oil help control parasites and fungi that cause indigestion and other digestion related problems such as irritable bowel syndrome. The fat in coconut oil also aids in the absorption of vitamins, minerals and amino acids, making you healthier all around. 40. Energy Boost – coconut oil boosts energy and endurance making it a great supplement for athletes as well as those needed a quick pick me up. 41. Fitness - coconut oil has been proven to stimulate your metabolism, improve thyroid function, and escalate energy levels, all of which help decrease your unwanted fat while increasing muscle. 42. Improves insulin secretion and utilization of blood glucose making it great for both diabetics and non-diabetic. 43. Lung Function – increases the fluidity of cell surfaces. 44. Nausea – rub some coconut oil on the inside for the wrist and forearm to calm an upset stomach. 45. Nose bleeds – coconut oil can prevent nose bleeding that is caused by sensitivity to weather such as extreme heat and extreme cold. This condition happens when the nasal passages become dry because of cold or dry air resulting to burns and cracks in the mucus membranes so bleeding happens. To prevent this just put coconut oil in you nostrils. Coat your finger with coconut oil and then lie down and coat your finger inside your nose. Doing this will strengthen and protect the capillaries in the nasal passages. A Vitamin C supplement will also help prevent nose bleeding. 46. Oil pulling with coconut oil offers a two for one health benefit! 47. Stress Relief – relieve mental fatigue by applying coconut oil to the head in a circular, massaging motion. The natural aroma of coconuts is extremely soothing thus helping to lower your stress level. 48. Vitamin and nutrient absorption 49. Weight loss - the saturated fats contribute to weight loss and controlling cravings. Also increases metabolic rate. Coconut Oil for Health Problems (when taken internally it is known for aiding, preventing, relieving or even curing these health issues) 50. Acid reflux/indigestion aid if taken after a meal 51. Adrenal fatigue 52. Allergies (seasonal hay fever) 53. Alzheimer’s/Dementia 54. Asthma, even in children 55. Autism 56. Bowel function 57. Bronchial Infections 58. Cancer (has been shown to prevent colon and breast cancer in laboratory tests) 59. Candida Albicans 60. Cholesterol – improves HDL (‘good’ cholesterol) to LDL (‘bad’ cholesterol) ratio in people with high cholesterol 61. Chronic Fatigue 62. Crohns Disease and resulting inflammation 63. Circulation/feeling cold all the time 64. Colds and Flus 65. Constipation 66. Cystic Fibrosis 67. Depression 68. Diabetes – helps keep blood sugar levels stable and/or helps with cravings 69. Dysentery 70. Eczema – in addition to taking it internally, many have success applying it externally, but some don’t 71. Edema 72. Energy boost 73. Epilepsy (known to reduce epileptic seizures) 74. Fever Support 75. Flaky, Dry Skin 76. Gallbladder disease and pain 77. Gas 78. H. pylori 79. Head Lice 80. Heart Disease (protects arteries from injury that causes atherosclerosis) 81. Hemorrhoids (can applied externally or internally twice a day) 82. HIV 83. Hot Flashes 84. Hyperthyroidism 85. Immune System Builder 86. Irritable Bowel Syndrome 87. Jaundice 88. Kidney Disease 89. Kidney Stones (aids in dissolving them) 90. Liver Disease 91. Lung Disease 92. Malnutrition 93. Mental Clarity 94. Menstruation Relief regarding pain/cramps and heavy blood flow 95. Migraines (with regular use) 96. Mononucleosis 97. Osteoporosis 98. Pancreatitis 99. Parasites 100. Periodontal Disease and tooth decay 101. Prostate Enlargement (benign prostatic hyperplasia) 102. Rickets 103. Skin problems 104. Scurvy 105. Stomach Ulcers 106. Toenail fungus 107. Thrush 108. Thyroid Function (regulates an overactive or underactive thyroid) 109. Ulcerative Colitis 110. Underactive thyroid gland – results have shown subsequent thyroid blood tests becoming normal after ingesting coconut oil daily 111. Urinary Tract Infections (Bladder Infections) Coconut Oil and Health Problems (when applied topically it is known for aiding, relieving, or even curing these health issues) 112. Acne 113. Allergies/Hay Fever – rub a little inside the nostrils for quick relief. The pollen will cling to the oil. 114. Athletes foot 115. Back pain/sore muscles 116. Boils and cysts 117. Canker sores 118. Cellulite 119. Circumcision healing – although I am personally against circumcision, I have read that coconut oil is a really great healer for this. 120. Decongestant – rub coconut oil on the chest and under the nose when congested from a cold or allergies 121. Ear infection – place a few drops inside the ear twice daily for relief from pain. Also fights the infection itself. 122. Genital Warts (through topical application over 6 weeks, and coconut oil enemas twice a day depending on the location of the warts) 123. Gum Disease and Gingivitis (use as a toothpaste or rub directly on gums) 124.Herpes (applied topically and taken internally) 125.Hives (reduces the itch and swelling 126. Pink eye (applied around and in the eye) 127. Ringworm 128. Toothache 129. Warts Coconut Oil and Cooking 130. Butter Substitute – use 1 cup to 1 cup ratio when replacing butter in recipes with coconut oil. 131. Nutritional Supplement – melt and add to smoothies. 132. Replacement for butter/lard/Crisco/PAM in its solid form for greasing pans, pie crusts, etc. 133. Replacement for various oils in liquid form – baking, cooking, sautéing, etc. Coconut Oil and Pets/Animals Check with your veterinarian but the recommended dosage for animals is 1/4 teaspoon for every 10 pounds of body weight twice daily. 134. Aids healing of digestive disorders like inflammatory bowel syndrome and colitis 135. Aids in arthritis or ligament problems 136. Aids in elimination of hairballs and coughing 137. Applied topically, promotes the healing of cuts, wounds, hot spots, dry skin and hair, bites and stings 138. Clears up skin conditions such as eczema, flea allergies, contact dermatitis, and itchy skin 139. Disinfects cuts and promotes wound healing 140. Great for dogs and cats for general wellness. Just add a teaspoon to their water bowl daily. 141. Helps prevent or control diabetes 142. Helps sedentary dogs feel energetic 143. Helps reduce weight, increases energy 144. Improves digestion and nutrient absorption 145. Makes coats become sleek and glossy, and deodorizes doggy odor 146. Medium-chain triglycerides (MCTs) have been shown to improve brain energy metabolism and decrease the amyloid protein buildup that results in brain lesions in older dogs. 147. Prevents and treats yeast and fungal infections, including candida 148. Reduces allergic reactions and improves skin health 149. Reduces or eliminates bad breath in dogs 150. Regulates and balance insulin and promotes normal thyroid function Other Uses for Coconut Oil 151. Chewing Gum in Hair Remover – just rub some coconut oil over the stuck chewing gum, leave in for about 30 minutes, then roll the gum between your fingertip. Voila! It’s out! 152. Goo Gone – just mix equal parts coconut oil and baking soda into a paste. Apply to the “sticky” area and let it set for a minute. Then scrub off with an old toothbrush or the scrubby side of a sponge. 153. Insect repellent – mix coconut oil with peppermint oil extract and rub it all over exposed skin. Keeps insects off better than anything with DEET! Tons safer too. 154. Moisturizing and cleaning leather products 155. Oiling wood cutting boards and wood bowls 156. Polishing Bronze – all you have to do is rub a little oil into a cotton towel and then wipe down the statue. It cleans and helps deepen the color of your bronze. 157. Polish Furniture – coconut oil with a little bit of lemon juice to polish wood furniture. However, I recommend you test it first on a very small, unobtrusive part of your furniture to make sure it works the way you’d like. 158. Seasoning animal hide drums 159. Seasoning cookware 160. Soap making – coconut oil can be used as one of the fats in soap. — WABONGO TUMIENI MAFUTA YA NAZI KWA KILA MARADHI ULIYOKUWA NAYO MWILINI KWA KUNYWA KIJIKO KIMOJA ASUBUHI KABLA YA KULA KITU NA KIJIKO KIMOJA MCHANA KABLYA KULA KITU NA KIJIKO KIMOJA USIKU KABLA YA KULA KITU NA UWE UNAJIPAKA MWILINI KWA AJILI YA MARADHI YA NGOZI NA MAUMIVU YA MWILI NA UJIPAKE KILA UMALIZAPO KUOGA.

FAIDA YA NAZI..




coconut.jpg


Vyakula vimetufanya tuamini kuwa maradhi mengi hayana tiba.

Hiyo inathibitika wazi pale vyakula vinapotoa majibu ya tiba bila sisi wenyewe kujijua. Kwa mfano ni rahisi sana watu kula chakula wakashiba halafu wakawa hai na kusema dawa hii inafaa au dawa ile haifai na kusahau kukitaja chakula kama dawa ya msingi inayobeba mhimili mzima wa tiba zote.


Hii ndio sababu madaktari na wauguzi wanakuwa wakalikatika kuwasisitiza wagonjwa kula kablaya kupewa dawa. Katika ardhi ambayo binadamu hajafanya uharibifu wa mazingira, inaaminika kuwa pamelala tiba za magonjwa yote zikisubiri watu waje wazigundue. Miaka ya 1980 ugonjwa wa AIDS ulitokea kuua wanaume, wanawake na watoto duniani kote kwa kishindo kikubwa! Watu wengi wamekufa na wengi wataendelea kufa, kitu ambacho ni tishio ulimwenguni kote mpaka hivi sasa.


Wakati huo huo vyakula vimeendelea kuwa tiba na mhimili mkubwa kwa afya za waathirika wa magonjwa mbalimbali duniani kote huku gonjwa hili likizidi kuonyesha sura mbaya na ya kutisha zaidi kila kukicha. Zipo tiba nyingi ambazo binadamu anazipata toka kwenye vyakula anavyokula bila kujua kama anajitibu. Tena kwa bahati nzuri zaidi ni kuwa tibahizo pia zinapatikana bila gharama yoyote zaidi ya kula chakula, ukitofautisha na gharama za matibabu ya aina nyingine kama hospitali, dawa zakienyeji nk. Unatakiwa ujue unapokula chakula chochote huwa unajitibu maradhi fulani bila kujijua. Kwa mfano unaweza kujitibu makali ya AIDS Endapo utatumia vyakula hivi vilivyoorodheshwa hapo chini, pamoja na dawa toka hospitali. Namna ya kufanya:


Utahitaji;


1. Nazi. Yaweza kuwa nazi, mafuta ya nazi, tui la nazi, dafu n.k.


2. Chai mbichi isiyokaushwa.


3. Vyakula - mchanganyiko wa nafaka.


Nazi: Nazi imewahi kuthibitishwa kuwa na vitu muhimu vinavyoua virusi. Lauric Acidndiyo acid pekee kwa kuua virusi ambayo inapatikana toka katika nazi na pengine ni toka kwenye maziwa ya mamaake binadamu tu duniani kote. Je, Ni kweli Nazi inarutubisha afya? Acid hii ndiyo kitu pekee chenye uwezo wa kuua virusi na ni rahisi kugundua hilo kama utakuwa mtu mwenye kumbukumbu basi nakupa Uthibitisho katika maeneo matatu. Linganisha afya mbovu za awali za watu waliohamia Dar Es Salaam kama vile wasichana wa kazi za ndani, vijana wanaokuja kusoma au kuutafuta maisha n.k. wakitokea sehemu zisipopatikana nazi. Utamkuta mtu anakuwa hajiamini, haongei sana, mwoga, ngozi yake imejikunja-kunja, miguu imepasuka na pengine hata kitambi cha kwashakoo ni kawaida kwao.


Halafu angalia afya zao pale walipokula vyakula vilivyoungwa nazi kwa muda mfupi tu kama miezi mitatu tu wakiwa hapa Dar Es Salaam. Utagundua kuwa afya zao zilibadilika sana.Wananenepa, Mipasuko kwenye miguu inaondoka, Ngozi zinakuwa nyororo, kwashakoo inaondoka, wanakuwa sio waoga tena, wanaongea sana tena kwa kujiamini na kwa kusema yote ni kuwa wanachangamka kiafya. Kwa wale tuliosoma "Old schools" mtakumbuka tulisoma vitabu vingi vikiwemo Alfu lela Ulela ambavyo vilijumuisha Safari saba za Sindbad Baharia. Katika safari zake aliwahi kutekwa akiwa na wenzie saba baada yachombo chao kugonga mwamba na kuvunjika. Watekaji waliwafungia ndani na kuwalisha "wali ulioungwa nazi" ili wanenepe kisha wawachinje! Sindbad kwa kujua hilo hakula kiasi kikubwa na baada ya muda mfupi wenzie walinenepa sana na walichinjwa wakaliwa! Yeye alikuwa akikonda siku baada ya siku na kuwafanya maharamia hao kumfungulia atembee tembee awe huru ili aimarike kiafya na ndipo alipopata mwanya wa kutoroka….


Uthibitisho wa mwisho ni pale mtoto mchanga anapofiwa na mama yake basi huwa anaikosa lauric acid toka ziwa la mama na afya yake nadhani wote mmeshuhudia inavyoathirika. Kifupi ni kuwa anatakiwa pamoja na maziwa ya wanyama anayolishwa inatakiwa apate walau kijiko kimoja cha tui la nazi kila siku ili kuilinda afya yake isiporomoke. Hivyo kama wewe ni muathirika wa maradhi ya aina yoyote, basi tumia dawaza hospitali, halafu ili kuthibitisha hili jaribu kula vyakula vilivyoungwa nazi kwa kiasi kikubwa, au chakula kilichokaangwa kwa mafuta ya nazi, au jenga mazoea ya kutafuna nazi mbichi na pengine ni vizuri zaidi ukaacha tabia ya kunywa soda na kuanza kunywa maji ya madafu pale unaposikia kiu. Je Nazi yoyote inatibu? Kama kawaida ya uhusiano wa mmea na udongo ulivyo, zipo nazi ambazo ukizipeleka katika maabara utazikuta zina kiwango kikubwa cha lauric acid au ukakuta lauric acid ipo kidogo au pengine ukakuta nazi haina kabisa lauricacid kwa vile udongo ulipooteshwa nazi kuna kemikali ambazo zinasababisha udongo huo kuwa sio sahihi kuzalisha acid hiyo katika nazi. Kwa kutambua hilotafiti nyingi zimefanyika na nazi zenye dawa hapa duniani zipo japo chache na zinapatikana kwa kupiga simu no 0768 215 956 au email rotion@live.com


Pia mpaka sasa yapo makampuni ya kusindika nazi ambayo yanakamua nazi zenye lauric acid ya kutosha na kuuza kama dawa. Nazi hizo zimeingizwa nchini na ninazitumia kutoa tiba kwa waathirika na hakika zinapunguza idadi ya watu wenye afya mbovu. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa zilizowafikia wawekezaji wa ndani hasa katika sekta ya afya ambao ningeweza kushirikiana nao kuitafiti bidhaa hii nchini watu walena wapone. Je, Nazi zinapatikana? Upande wa pili wa shilingi una sura ya nazi kuwa bidhaa ya wenye nazo tu mara baada ya habari hii kuenea. Sasa Vile vile ni vema kwa wizara za kilimo na chakula pamoja na wizara ya afya kukaa chini na kuangalia namna ya kukabilianana changamoto hii ya kupungua kwa nazi masokoni pamoja na kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo ambayo inaweza kufikia shilingi elfu tatu kwa nazi moja endapo theluthi moja tu ya watanzania wataamua kuitumia nazi kama dawa ya kurutubisha afya zao. Wakati naendelea kukuletea habari hii, ni vema ukaituma email hii kwa watu ishirini au wote katika address book yako ili tupunguze idadi ya watu wenye matatizo ya kiafya.


Tusifiche tiba maana kuwa na taifa lenye wagonjwa ni UMASIKINI.